Bi Kamala alitembeleanchi tatu za Afrika Ghana, Tanzania na Zambia ambazo kwa pamoja zinawezimepiga marufuku mapenzi ya jinsia moja. Bi Harris alilitaka bunge la Ghana kuwa na usawa kwa watu wote.
Unaitwa ‘’Bhagwa Love Trap’’ au "Mtego wa Mapenzi wa Bhagwa." Ushahidi wa madai hayo ni mdogo, Lakini hilo halijayazuia madai hayo kusabisha kuenea kwa vurugu katika jamii halisi ya Wahindi.